BBC Eye: Nani anajaza Afrika Magharibi na vidonge haramu vya opioidi?

by



Kwa zaidi ya muongo mmoja, Afrika Magharibi imekuwa ikipambana na opioid – Vidonge haramu, vya kulevya na hatari …

source

You may also like

9 comments

@mwinukafundibombanjombe March 24, 2025 - 6:33 am

MUNGU AWASIMAMIE KATIKA TAFITI CHANYA KAMA HIZI😢

@happierpaul5238 March 24, 2025 - 6:33 am

Hata hapa tanzania Watu wanatumia

@blackdiamond8542 March 24, 2025 - 6:33 am

Kufungwa cheni bado inawadumiza kifikra na utumwa, ushauri ni kuchukua mbinu mbadala tofauti, yapo mageti ya chuma, wanaweza cycle hapo hapo kutoka vyuma chakavu, lakini cheni bado inaumiza sana kifikra na kimwili, ukitazama kwa makini wengi wana vidonda , haviwezi pona kama bado wapo katika hali hii. Mageti ya chuma watumie kama mirango japo kupunguza maumivu na mawazo. Naimani fikra zitabaridika na watatoka kwenye giza.

@ChaumaraAli-z5i March 24, 2025 - 6:33 am

Asanteni sana African eye 👁 kwa hakika munafanya kazi kubwa kupinga uhalifu

@Rasoulhk98 March 24, 2025 - 6:33 am

Adui wa kwanza wa Africa ni mwagrika wenyewe, umasikini umetufanya tujali pesa zaidi kuliko ustahimilivu na maendeleo ya nchi na jamii zetu.

@afrakanaswahilitv5520 March 24, 2025 - 6:33 am

Waagizaji na watengenezaji wa dawa haramu hii wakamatwe na kufunguliwa mshtaka. Wao hao wanastahili kuswekwa mahabusuni.

@KITTAMEDIA March 24, 2025 - 6:33 am

im making a documentary alike yours based in tanzania, dar es salaam. get intouch plz

@kamrudinelias3922 March 24, 2025 - 6:33 am

Ati mnoa nyewele anapata kibali cha kufanya kazi, mpishi msaidizi na muosha vyombo anapata kibali na wanahamia na familia zao awamu la sita kiboko, wazalendo hawana kazi…

@kamrudinelias3922 March 24, 2025 - 6:33 am

Sina imani na wahindi wa India kabisa wanaopata vibali kama njugu sikuhizi…

Leave a Comment